Thursday, October 20, 2011

TIMU YA CHANJO YAZIDI KUCHANJA MBUGA KILA PEMBE..

Gari linalobeba wanamuziki katika kusambaza CHANJO likiwa limefika Chuo Kikuu Dar Es Salaam tayari kugawa Chanjo kwa Wasomi

Wanamuziki wa kundi la THE SPIRITS wakiwa katika moja ya safari ya kuelekea kugawa CHANJO YA RUSHWA Tanzania. 

No comments:

Post a Comment