Wednesday, July 4, 2012

...WANA WA BAGAMOYO WALIVYOPEWA CHANJO

Wananchi waliofurika kutoka sehemu mbalimbali za Bagamoyo na nje ya Bagamoyo ili kupewa Chanjo ya Rushwa kutoka kwa Vitali Maembe na Bendi ya The Spirits


 Baadhi ya washiriki walikuwa ni wadau wa karibu kutoka shirika la SPIDER kutoka Sweden

 "Hata mtoto naye ana kipaji"
Hapa mtoto akionyesha umahiri wa kucharaza gitaa la bezi katika onyesho la kutoa Chanjo Ya Rushwa siku ya Jumamosi ya tarehe 30 Julai

"Asante sana Vitali"
Hapa Paula kutoka SPIDER akimpongeza Vitali Maembe kwa kufanya mapambano dhidi ya rushwa kupitia Chanjo Ya Rushwa

Baadhi ya wasanii walioshiriki katika kutoa Chanjo ndani ya Bagamoyo

Bendi ya The Spirits wakionyesha umahiri katika kutoa ujumbe ulioambatana na burudani ndani yake kuhusiana na rushwa

Vitali Maembe akiimba pamoja na waliohudhuria tamasha hilo la bure mjini Bagamoyo

Wednesday, June 20, 2012

.....CHANJO ILIVYOHAMASISHA WENGI


....Simu ilitumika na wengi kuchukua picha na video za tukio..


 Washiriki wa onesho la Chanjo wakifuatilia kwa umakini ujumbe unaotolewa





Vitalis akifafanua jambo wakati wa Onyesho la Chanjo Ya Rushwa


Sunday, May 20, 2012

CHUO CHA SLADS BAGAMOYO WAPEWA CHANJO...

Vitali Maembe akigawa CHANJO YA RUSHWA kwa wanafunzi wa SLADS BAGAMOYO

Mwl. Mwalubawa akifanya utambulisho kwenye onesho maalumu la Chanjo ya Rushwa  Chuoni kwake SLADS Bagamoyo.



 ulimwengu wa teknolojia ulijirihirisha, wengi walichukua kumbukumbu katika simu zao za mikononi.
ulimwengu wa teknolojia ulijirihirisha, wengi walichukua kumbukumbu katika simu zao za mikononi.

Monday, May 7, 2012

..CHANJO KWA KILA RIKA

Vitalis Maembe akitoa CHANJO YA RUSHWA kwa wakazi wa Mti Mwiba-Masasi.

Hadi watoto nao wanastahili kupewa CHANJO YA RUSHWA, hapa ni Lizabon-songea

Vitali akiwa anahamasisha jambo ndani ya Masasi.

"si barabara zote ni mbaya...ila kwingine ni VIONGOZI TU"