TUTAKUFIKIA..
Wednesday, August 1, 2012
Wednesday, July 4, 2012
...WANA WA BAGAMOYO WALIVYOPEWA CHANJO
Wananchi waliofurika kutoka sehemu mbalimbali za Bagamoyo na nje ya Bagamoyo ili kupewa Chanjo ya Rushwa kutoka kwa Vitali Maembe na Bendi ya The Spirits
Baadhi ya washiriki walikuwa ni wadau wa karibu kutoka shirika la SPIDER kutoka Sweden
"Hata mtoto naye ana kipaji"
Hapa mtoto akionyesha umahiri wa kucharaza gitaa la bezi katika onyesho la kutoa Chanjo Ya Rushwa siku ya Jumamosi ya tarehe 30 Julai
"Asante sana Vitali"
Hapa Paula kutoka SPIDER akimpongeza Vitali Maembe kwa kufanya mapambano dhidi ya rushwa kupitia Chanjo Ya Rushwa
Baadhi ya wasanii walioshiriki katika kutoa Chanjo ndani ya Bagamoyo
Vitali Maembe akiimba pamoja na waliohudhuria tamasha hilo la bure mjini Bagamoyo
Wednesday, June 20, 2012
Sunday, May 20, 2012
CHUO CHA SLADS BAGAMOYO WAPEWA CHANJO...
Vitali Maembe akigawa CHANJO YA RUSHWA kwa wanafunzi wa SLADS BAGAMOYO
Mwl. Mwalubawa akifanya utambulisho kwenye onesho maalumu la Chanjo ya Rushwa Chuoni kwake SLADS Bagamoyo.
ulimwengu wa teknolojia ulijirihirisha, wengi walichukua kumbukumbu katika simu zao za mikononi.
ulimwengu wa teknolojia ulijirihirisha, wengi walichukua kumbukumbu katika simu zao za mikononi.
Tuesday, May 15, 2012
Monday, May 7, 2012
Tuesday, May 1, 2012
..HARAKATI ZA CHANJO YA RUSHWA ZAPENYEZA HADI VIJIJINI
Chanjo ikitolewa kwa wana wa SONGEA
............................elimu ni ukombozi
wananchi wa rika mbalimbali wakipata nasaha za maisha kupitia CHANJO..
hapa ni kilwa kivinje, bado tunasisitiziwa hatari ya ugonjwa huu, ukimwi bado
............................elimu ni ukombozi
wananchi wa rika mbalimbali wakipata nasaha za maisha kupitia CHANJO..
hapa ni kilwa kivinje, bado tunasisitiziwa hatari ya ugonjwa huu, ukimwi bado
'huu ni wakati pekee ambao tunaweza kuikoa nchi yetu kwa sauti na kalamu zetu
Subscribe to:
Posts (Atom)











